Mzee Patrick ametutoka usiku wa jana. Alikuwa anasumbiwa na Maradhi kwa mda mrefu, alilazwa Hospitali ya Bugando Mwanza, ni diwani kutoka CCM pia alikuwa ni mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Nzega katika Uongozi wa awamu ya nne.
Marehemu ni Baba Mzazi wa John Patrick Mbozu ambaye ni Katibu wa Mambo ya Nje wa chama cha ACT Wazalendo.
Amefia Hospitali ya Wilaya ya Nzega.
Apumzike mahali pema peponi