CCM: Tumeweka Kifurushi Kisichoisha cha Kuwasomba wanachama wa Upinzani


Imeelezwa kuwa kwa sasa Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA hakina kiongozi anayeisumbua CCM baada ya kuondoka kwa aliyekuwa katibu mkuu wa Chama hicho Dkt Wilbroad Slaa ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa balozi

Akizungumza na wajumbe wa UWT na wanachama wa CCM wilaya ya Makete, Katibu wa UWT Taifa Amina Makilagi amesema chama hicho hakina sera, kimebaki kupiga kelele tu huku akisema mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe haiwezi nafasi hiyo ya uenyekiti

Amesema kitendo cha aliyewahikuwa Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM) Lazaro Nyalandu Kuhamia CHADEMA ilikuwa ni kukibipu chama cha Mapinduzi ambacho kimeamua kuweka kifurushi cha Bila kikomo cha kuwakomba viongozi na wanachama wa upinzani mpaka uchaguzi mkuu ujao 2020

Tazama Video Hii hapa chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo