Picha: Safari ya mwisho ya mwanamuziki Radio

Shughuli za kupumzisha mwili wa mwanamuziki wa Kundi la Goodlyfe, Mowzey Radio maarufu kama Radio katika nyumba yake ya milele zimefanyika mchana huu katika kijijini cha Kaga nchini Uganda.

Muimbaji huyo wa Uganda alifariki Alhamisi hii akiwa katika hospitali ya Case ya nchini humo baada kudaiwa kushambuliwa na baunsa na kusababishiwa kuvunjika fuvu la kichwa pamoja na uti wa mgongo.




Picha kwa hisani ya News Vision Uganda


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo