Hivi Ndivyo Mtangazaji ITV/Radio One/Capital Redio Brother Ochu alivyofunga ndoa

Mwandishi wa habari na mtangazaji wa vituo vya ITV/Radio One/Capital Radio Othman Suleiman maarufu kama Brother Ochu, hivi karibuni amefunga pingu za maisha maarufu kama ndoa na Mwanadada Mrembo Hafidha Saidi, ndoa iliyofungwa jijini Dar es Salaam

Brother Ochu amekuwa akitangaza vipindi mbalimbali vya Capital Redio vikiwemo kipindi cha Daladala, Buzuki Time, The Sunday Hali Halisi N.k

MUNGU mwenye wingi wa Rehema awasimamie katika ndoa yenu iwe ni ya kumpendeza yeye na iwe na baraka tele

Eddy Blog Team inawatakia kila la heri Brother

Angalia Picha hizi hapa chini





JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo