Ni kwanini Polisi wa Dar hawamkamati PolePole? - Lema

Nimeona salamu za rambi rambi kutoka kwa Humphrey Pole Pole juu Uanachama wa Kisiasa wa Mzee Kingunge, sijashangaa kwa salamu hizi. Ila ninachoshangaa na kujiuliza ni kwanini Polisi wa Dar hawamkamati Pole Pole na wafanye kama walivyofanya wenzao wa Dodoma kwa Nabii Tito ? 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo