Mama Mzazi wa Salum Mwalimu uvumilivu wamshinda, Aibuka na Hili

"Mimi ndio Faudhat Abood kama alivyosema kampeni Meneja wa Mgombea Salum Mwalim, Salum ni mtoto wangu kati ya watoto 6 yeye akiwa wa tatu kuzaliwa, nimesikia wako wanaosema eti Salum si mtu wa Dar es salaam, msiwasikilize hao" mama mzazi wa Salum Mwalim Faudhat Abood



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo