News Alert: Jeshi la Polisi lawakamata 2 kwa mauaji ya Kiongozi wa CHADEMA

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kuhusika na mauji ya Kiongozi wa CHADEMA Kata ya Hananasif, Daniel John.

Kamanda Mambosasa amesema majina ya watu hao yanahifadhiwa kwa sasa kwa sababu za kiupelelezi. Wamekamatwa Mwanaume na Mwanamke.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo