Makete: Mchungaji aongea Kuhusu Unyama Unaoendelea Hapa Nchini (VIDEO)

Suala la vitendo vya Ukatili vinavyoendelea kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini, imeelezwa vinatokana na ukosefu wa hofu ya MUNGU miongoni mwa wananchi

Kauli hiyo imetolewa na Mchungaji wa Kanisa La Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Malembuli wilayani Makete mkoani Njombe katika Ibaada ya Jumapili iliyoendeshwa kanisani hapo leo 25 Februari 2018

Tazama Video hapo Chini Usikilize aliyoyaongea


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo