Kwaheri 2017 Karibu 2018, Sherehe yanoga Madihani Lodge Makete Mjini

 Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka na Mkuu wa wilaya ya Makete Veronica Kessy wakifurahia jambo kwenye sherehe hiyo
 Wageni waalikwa wakifurahia jambo
 Askofu Mteule dayosisi ya kusini Kati Wilbert Sanga akitoa neno kwenye hafla hiyo
 Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka akimsalimia Baba askofu Mteule Wilbert Sanga
 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Mh Egnatio Mtawa akizungumza kwenye sherehe hiyo
 Wadau wakifurahia jambo
 Mwendo wa kwaito
 Diwani wa viti Maalum (CHADEMA) Mh Beatrice Kyando akizungumza kwenye sherehe hizo

 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Njombe Jasel Mwamwala akizungumza kwenye hafla hiyo
 Mkuu wa mkoa akitoa salamu zake
 Wasanii Y Jay na Hans Jay wakitumbuiza kwenye hafla hiyo





Mkuu wa mkoa na meza kuu wakiondoka Ukumbini


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo