Wiki ya sheria Makete, Elimu yaendelea kutolewa, Wapokeaji wafurahia

Wakati Mahakama mbalimbali nchini zikiendelea kufanya tofauti tofauti kwa jamii kuelekea kilele cha wiki ya sheria nchini, mahakama ya mwanzo Lupalilo wilaya ya Makete Mkoani Njombe imetoa elimu ya masuala ya sheria kwa wananchi wake

Hii leo wanafunzi wa shule ya sekondari Lupalilo wilayani Makete Mkoani Njombe wamepatiwa elimu ya masuala mbalimbali ya sheria, ikiwemo ufanyaji kazi wa mahakama zote nchini, mahakama za watoto, mirathi migogoro ya ardhi pamoja na kuruhusu maswali kwa wanafunzi hao kuhusu masuala ya kisheria

Kilele cha siku ya sheria nchini huadhimishwa Februari Mosi ya kila Mwaka
 Hakimu Mfawidhi wa mahakama ya Mwanzo Lupalilo James Sikazwe akitoa elimu kwa wanafunzi Lupalilo sekondari






 Wanafunzi wakiuliza maswali ya ufahamu
 Wanafunzi wakisikiliza elimu hiyo




Hakimu mfawidhi Mahakama ya Mwanzo Lupalilo Mh. James Edwin Sikazwe akitoa elimu kwa wanafunzi hao


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo