Picha zote za Mazishi ya Mwanahabari Athuman Khamis hii Leo

Jeneza lenye mwili likipelekwa msikitini.

Mwili ukifikishwa msikitini.

Jeneza lenye mwili wa marehemu likiwa nyumbani kwa marehemu Sinza Madukani.

Msikiti ambapo mwili huo umefanyiwa dua kabla ya mazishi.

Safari ya msikitini.

Mashehe wakiomba dua.

Mwili wa marehemu ukishushwa kwenye gari makaburini hapo.
RAIS Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete amewaongoza mamia ya waombolezaji katika kuaga na kuuzika mwili wa aliyekuwa mpiga picha wa magazeti ya Serikali, Athumani Hamisi Msengi ambaye amezikwa katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar.


Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete akisalimiana na waombolezaji.
Msengi alifariki jana Januari 4, 2017 asubuhi katika  Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu.
Wanahabari na waombolezaji wakiwa makaburini kwa ajiri ya maziko hayo

Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la Msengi.

Waombolezaji wakiweka mchanga kaburini.

Shughuli ya mazishi ikiendelea.Picha na GPL


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo