Picha: Lowassa atinga Magwanda Ya CHADEMA

Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa ameshiriki uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la Kinondoni

Kwa mara ya kwanza Lowassa ametinga magwanda ya CHADEMA tangu ajiunge na CHAMA hicho mwaka 2015


> Mgombea wa CHADEMA katika uchaguzi huo ni Salum Mwalim


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo