Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu (pichani)ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutimia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi mazito kwa takriban wiki nzima.
