Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Godbless Lema ameshindwa kuvumilia na kuamua kumppongeza Rais Dkt John Magufuli kwa kuwaachia huru wafungwa waliokaa gerezani muda mrefu
Pongezi hizo za Mbunge Lema amezitoa kupitia ukurasa wake wa Twitter kama inavyoonekana hapo chini:-
Mh Rais Magufuli,Mungu akubariki sana kwa msamaha uliotoa jana kwa wafungwa haswa wale waliokaa magereza muda mrefu pamoja na wazee,msamaha ni ibada,pia wako mahabusu wamekuwa magereza kwa muda mrefu sana bila kesi zao kukamilika. Mh Rais fuatilia watu kama hawa pia.— Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) December 10, 2017
