Katambi: Kama Upinzani wanashindwa kusimamia bajeti ya msiba, wataweza kusimamia bajeti ya Taifa?

Katika Mkutano mkuu wa 9 wa UVCCM uliofanyika leo mkoani Dodoma, Aliyekuwa mwenyekiti wa BAVICHA Taifa kabla ya kujiuzulu na kuhamia CCM Patrobas Katambi amesema "Hivi, viongozi wa upinzani wakipewa nchi nani wanaweza kuunda serikali? Kama wanashindwa kusimamia bajeti ya msiba, wataweza kusimamia bajeti ya Taifa?


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo