Tanzia: Diwani afariki Dunia Makete Njombe

Aliyekuwa Diwani wa viti maalum tarafa ya Magoma wilayani Makete mkoani Njombe (CCM) Sarah Shembekeza (pichani juu) amefariki dunia jana katika hospitali ya Consolatha Ikonda

Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Makete kupitia taarifa aliyoitoa, iangalie hapa chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo