Exclussive Audio: Tundu Lissu awataja

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amezungumza tena kwa njia ya sauti akiwa Nairobi Nchini Kenya anakopatiwa Matibabu baada ya kupigwa Risasi mwezi September mwaka huu

Miongoni mwa aliyoyazungumzia ni Kumpongeza Lazaro Nyalandu kujiuzulu Ubunge na kuomba kuhamia Chadema akitoka CCM, Uchaguzi mdogo wa madiwani pamoja na kuwataja anaodai ni watesi wake

Sikiliza sauti hii hapa chini kwa kubonyeza Play>>>>>


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo