Mazishi yake yanatarajia kufanyika kesho Ifakara mkoani Morogoro. Marehemu Chogo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Homa ya Ini, na alianza kuugua tangu Juni, ilipofika Septemba 29, 2017 akafariki dunia.
Mwili wa Mtangazaji wa E-FM waagwa, Vilio Vyatanda
By
Edmo Online
at
Monday, October 02, 2017
Mazishi yake yanatarajia kufanyika kesho Ifakara mkoani Morogoro. Marehemu Chogo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Homa ya Ini, na alianza kuugua tangu Juni, ilipofika Septemba 29, 2017 akafariki dunia.
