Kamanda wa Polisi Kanda ya Tarime na Rorya, SACP Henry Mwaibambe, amesema kuwa kikundi hicho kimekuwa kikijihusisha na mauaji ya watu mbalimbali kimekamatwa kikiwa na silaha za jadi ambazo zimekuwa zikitumika kufanya vitendo hivyo vya mauaji.
Kikundi cha wauaji chakamatwa
By
Edmo Online
at
Tuesday, October 10, 2017
Kamanda wa Polisi Kanda ya Tarime na Rorya, SACP Henry Mwaibambe, amesema kuwa kikundi hicho kimekuwa kikijihusisha na mauaji ya watu mbalimbali kimekamatwa kikiwa na silaha za jadi ambazo zimekuwa zikitumika kufanya vitendo hivyo vya mauaji.