AUDIO: Taarifa zaidi za Kuungua Soko La Sido Mbeya Usiku huu

Kutokana na moto unaoendelea kuwaka na kuteketeza soko la Sido Mbeya Usiku huu, Kituo cha Redio Green Fm kimetoa ripoti zaidi kuhusu moto huo, baada ya kufika eneo la tukio na kuzungumza na watu waliopo eneo la tukio na wakatoa taarifa ya awali

Sikiliza sauti hii hapa chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo