Taarifa zaidi za kifo cha Mtangazaji wa E FM

Taarifa za Awali kuhusu Msiba wa Mtangazaji wa EFM Seth Katende ( Bikra Kisukuma) kuwa mwili wa marehemu umepelekwa nyumbani kwa baba yake mzazi, Changanyikeni kwa ajili ya taratibu za mazishi.

Seth amefariki Dunia leo katika Hospitali Taifa ya Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mchache

Seth alikuwa akifanya kipindi cha ubaoni pamoja na Emmanuel Kapanga, na Mpoki kilichokuwa kikianza saa 10:00 Alaasiri hadi saa 1:00 usiku.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo