ZIMBABWE: Kijana mmoja wa kiume amekamatwa baada ya kujivika mavazi ya kike ili aweze kufanya mtihani kwa niaba ya mpenzi wake.
- Baada ya kuhojiwa kijana huyo amesema kuwa aliamua kufanya hivyo kwakuwa mpenzi wake huyo amefeli mtihani huo mara nne.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi