Yanga wakimbiana walivyotua uwanja wa ndenge Dar

 Hatimaye Yanga wamerejea nchini baada ya kuwa wamechelewa nchini.

Hili ni lile fungu ambalo liliachwa na ndege mjini Algers nchini Algeria.

Wachezaji walipotua, kila mmoja alionekana kwenda mwelekeo wake.

Si kawaida kama ilivyozoeleka hutua na kutoka pamoja. Lakini kila mmoja alielekea upande wake na kuwashangaza waliokuwa uwanjani hapo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo