Nyalandu: Bunge lazima lijadili ishu ya Clouds Media

Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika kuwa katika kutekeleza wajibu wake kikatiba ni lazima Bunge lijadili na kuazimia kuhusu kilichojiri Clouds Fm hali kadhalika Uhuru wa Vyombo vya Habari, Lakini pia ameeleza kusikitishwa kuona afisa akimtishia silaha waziri mstaafu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo