AUDIO: "Tutakwenda Ikulu kumuona Rais Magufuli" - Tundu Lissu

Rais wa chama cha Tanganyika Law Society Tundu Lissu amesema tayari wamekutana kupanga utaratibu wa kuonana na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli

Akizungumza kupitia kituo cha Redio Times Fm cha jijini Dar es salaam Tundu Lissu amekwepa kutaja mambo mazuri aliyoyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake na kusema kuwa akiyataja hawataitwa Ikulu na Rais

"Nasemaje haiwezekani Rais awe hajafanya mazuri, lakini nitakwenda kumwambia huko huko Ikulu" amesema Tundu Lissu

Unaweza kumsikiliza kwa kirefu kwa kubonyeza play hapo Chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo