AUDIO: Mkuu wa wilaya aifunga shule baada ya wanafunzi Kupagawa

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amelazimika kuifunga shule ya sekondari Imetere wilayani mwake baada ya wanafunzi kupagawa na kuanguka ovyo shuleni hapo

Tukio hilo linahusishwa na imani za Kishirikina

Sikiliza sauti ya tukio hilo hapa chini kama lilivyoripotiwa na kituo cha ITV


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo