AUDIO: Lipumba Amtimua Rasmi Maalim Seif Na Amchagua Sakaya

Baraza Kuu la Uongozi Taifa la Chama cha Wananchi(CUF) leo limemvua Maalim Seif nafasi ya Ukatibu Mkuu na kumpa Magdalena Sakaya.

Tamko hilo limetolewa na mwenyekiti wa CUF anayeungwa mkono na  Msajili wa Vyama,  Prof. Ibrahim Lipumba ambapo amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya Maalim Seif kukaidi na kususia ofisi kwa miezi kadhaa.

==>Msikilize hapo chini akiongea


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo