AUDIO: Akutwa akibaka Mbuzi huko Moshi, Sikiliza sauti ya Tukio hilo Mwanzo Mwisho

Katika hali isiyokuwa ya Kawaida Mwanaume mmoja ambaye jina lake halikujulikana mara moja mkoani Kilimanjaro amekutwa akimbaka Mbuzi

Tukio hilo la kustaajabisha limetokea mkoani humo ambapo limeacha gumzo kwa watu, huku waandishi wa habari wakifika eneo la tukio kuchukua habari hiyo

Hapa chini kuna sauti ya tukio hilo mwanzo mwisho kama ilivyoripotiwa na kituo cha Redio Clouds Fm, unaweza kusikiliza au kudownload hapo chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo