Video: Mchungaji ahubiri kanisani kwa Kutumia Muziki wa Darassa

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo-Kibangu jijini Dar es salaam, Lusekelo Anthony ‘Mzee wa Upako’ ametrendi mtandaoni wiki hii baaada ya kusambaa kwa video inayomwonyesha akiwaubiria watumishi wa kanisa lake kwa kutunia wimbo ‘Muziki’ wa Darassa.

Mchungaji huyo amedai ameamua kubadilisha namna ya kuubiri kwa kuwa dunia inaenda kila siku ikibadilika.
“Lazima ujue huku duniani watu wanaongea nini, ukitoka hapo ndio utajua dunia inataka nini. Utajua kumbe ‘Kamatia Chini’ imefulia, iko acha maneno weka muziki,” alisema mchungaji huyo. “Mimi sio yule mchungaji wa kizamani, Acha maneno weka muziki,”
Angalia Video hii hapa chini:-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo