TANZIA: Kamanda wa polisi Dkt. Mohamed Chico afariki dunia


Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa kilimanjaro Dkt. Mohamed  Chico amefariki Dunia  usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salam. 

Kwa mujibu wa msemaji wa familia Bw. Awadhi Chico, mazishi yake yamepangwa kufanyika leo Jumapili 22/01/2017 jioni katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam. 

Msiba upo nyumbani kwa marehemu Kijitonyama. Habari ziwafikie ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo.

Mwenyezi Mungu amjaalie kauli thabit na ailaze roho yake mahali pema peponi - AMIN

Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo