Picha 14 Wachimbaji 15 waliofukiwa mgodini Geita waokolewa wakiwa hai

Wachimbaji 15 waliokuwa wamefukiwa na kifusi katika mgodi wa RZ Nyarugusu mkoani Geita wameokolewa wote wakiwa hai.

Wachimbaji hao wameokolewa leo asubuhi baada ya jitihada za uokoaji kufanyika kwa muda mrefu. Matumaini ya kuwapata watu hao yaliongeza jana usiku ambapo walituma ujumbe kwenye karatasi kuwa wapo 15 na kuorodhesha mahitaji yao

Taarifa za kufukiwa kwao zilizeleza kuwa miongoni mwa waliofukiwa ni pamoja na raia mmoja wa China.Mgodi huo unamilikiwa na mwekezaji kutoka nchini China.

Picha za zoezi la uokoaji lilivyofanyika


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo