VIDEO: Wamachinga wakisherekea Kauli ya Magufuli kuwa wabaki Mjini


Baada ya Rais Magufuli kutoa kauli ya kuwaruhusu wamachinga waliobomolewa vibanda vyao na kufukuzwa jijini Mwanza kurudi katika maeneo hayo na kuendelea na biashara zao kama kawaida hivi ndiovyo wamachinga hao walivyoipokea kauli hiyo ya Rais Magufuli.


ANGALIA VIDEO HII..


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo