Angalia Picha 28 za Magari yaliyokwama Makete Kutokana na Ubovu wa Barabara

 Mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Makete mkoani Njombe zimeendelea kuleta usumbufu katika Barabara ya Makete Njombe, baada ya kifusi kilichorundikwa barabarani kugeuka tope hali iliyopelekea Magari Kukwama. Picha zote zinaonesha magari yaliyokwama kijiji cha Ikonda njia panda ya kuelekea hospitali ya Consolata Ikonda leo asubuhi
 Jitihada za kulivuta basi la Japanese lililokwama, Basi hilo linafanya safari zake kati ya Makete Njombe
 Trekta likiwa limekwama


 Jitihada za kulinasua basi hilo zikiendelea



 Hali halisi ndiyo hiyo wadau



 Trekta nalo likivutwa






 Abiria wakiingia kwenye basi safari iendelee







JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo