Hizi Karoti zilizooshwa Mtoni zinafaa kuliwa kweli?.....



Wasukuma  mkokoteni wakiingia barabara kuu ya  Mbeya-Kyela bila kuangalia Usalama wao katika eneo la Uyole jijini Mbeya huku wakiwa na shehena ya Karoti ambazo walikuwa wakizipeleka Sokoni baada ya kuziosha  mtoni. Picha na Kenneth Ngelesi 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo