Aibu: Anusurika kuuawa baada ya kukutwa akifanya mapenzi na Mbuzi


KENYA: Mwanaume mmoja katika kijiji cha Nangwe huko katika Kaunti ya Bungoma amenusurika kifo baada ya kushambuliwa na wananchi wenye hasira baada ya kufumaniwa akifanya mapenzi na mbuzi wa jirani yake.

Wananchi wenye hasira walimshambulia lakini alifanikiwa kujiokoa baada ya kukimbilia katika kituo cha polisi.
=============================

A man in Nangwe village, Bungoma County narrowly escaped death by lynching, after he was caught engaging in bestiality with a neighbour's goat.

Angry residents pounced on him and only escape into a nearby police post saved him from the irate mob.

Source: NTV Kenya


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo