Hata hivyo mbunge Mh Prof Norman Sigalla amekanusha taarifa kuwa kuna mshahara wake unaingia kwenye akaunti yake isipokuwa amekuwa akishangaa kuona kitu kinaingizwa kwenye akaunti yake ambacho si mshahara na hajui ni kwa nini au mtu gani alikuwa anaingiza.
Mbunge huyo ametaka vyombo vya dola kufanya uchunguzi wa kina kuhusu jambo hilo
Soma zaidi habari hii kutoka gazeti la mwananchi la leo baada ya kulipiga picha:-

