Jumuiya ya Vijana CUF wamemtaka Maalim Seif kukinusuru chama hicho


Jumuiya ya Vijana ya Chama cha wananchi CUF kutoka wilaya tatu za Mkoa wa Dsm wamemtaka M/kiti wa Chama cha wananchi Cuf pamoja Maalim Seif Sharifu Hamad kukinusuru chama hicho kwa kukutana na Kuzungumza pamoja ili kumaliza mpasuko unaoendelea kukigawa chama hicho bara na Visiwani.

Aidha Umoja huo umezitaka pande hasimu kuacha kutumia lugha zisizo na Staha dhidi ya Viongozi wa juu wa chama hicho kwa kuwa zinaweza kueneza Chuki lakini pia kuchochea Ubaguzi kati ya wafuasi wa Tanzania bara na Visiwani.

M/kiti wa Juvi-CUF wilaya ya Ilala Canal Ali Shaghary amesema Jumuiya hiyo inasikitishwa na mwenendo unaendelea wa msuguano ndani ya chama hicho.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo