Audio: Watumishi watimua Mbio na kuacha Kazi, Kisa zoezi la Uhakiki Vyeti Makete

Imeelezwa kuwa baada ya muda si mrefu huwenda halmashauri ya wilaya ya Makete mkoani Njombe ikakumbwa na uhaba wa watumishi kutokana na zoezi la uhakiki wa watumishi linaloendelea kufanywa na serikali


Akitoa taarifa ya awali katika baraza la madiwani wa halmashauri hiyo kuhusu zoezi la uhakiki wa watumishi pamoja na vyeti Afisa utumishi na Utawala wilaya ya Makete Bw. Nicodemus Tindwa amesema wapo watumishi 47 ambao mpaka sasa hawajajitokeza na miongoni mwao wapo waliokimbia na hawajulikani walipo

Sikiliza taarifa hii ya sauti hapa chini:


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo