skip to main |
skip to sidebar
Angalia Picha za ajali ya Basi la Hood iliyotokea Mlima Kitonga Iringa Hii leo
Basi la kampuni ya Hood linalofanya safari zake kati ya Mbeya na
Arusha limepata ajali leo mchana na kupinduka katika mlima Kitonga
mkoani Iringa baada ya kugongana na lori la mafuta.
Katika ajali hiyo mtu mmoja amepoteza maisha na wengine arobaini na
tatu wamejeruhiwa.
Kati ya majeruhi hao 25 wapo Hospitali ya Itunda
Ilula na 18 wapo katika Hospitali ya Mkoa.
![14900584_1006125132831408_8129501449386976542_n](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_v4LNqkD435fKnWfB3nTqZ3IbIQJCKlnEFF0DhFHQl-hEUAkTLyrLqDubIx7DJnrbdmwc3Kzz_k9lCiTAnBXjLoFdjWLEQKex9gKhpRvfC5s0ETrQTpaIlb9NX4syc6Ss-ahSiMINNUADDauysAS3LZRAIwMIbgJh8K5apbIVsmN97yAu9WYyLM=s0-d)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi