#SEHEMU ZA SIRI ZAYEYUKA BAADA YA KUMUIBIA MWANAUME ALIYELALA NAE! 
Mama mmoja mjini Bukoba akiwa hajielewi kwa kile kilichompata, baada ya kulala na mwanaume katika nyumba ya wageni ya Super star hamugembe na kutoweka na pesa za mwanaume huyo ambae  inasemekana ni mkazi wa Kigoma, na baada ya muda mama huyu alijikuta hana sehemu zake za siri hali iliyomfanya aonekane kama mtu aliyechanganyikiwa na kupelekea umati  mkubwa wa watu wakimshangaa hadi pale Police walipofika maeneo ya tukio na kumchukua.  Jitihada za kumpata msemaji wa Jeshi la Polisi zinaendelea , pia taarifa rasmi ya daktari kuthibitisha kama kweli mama huyo hana  sehemu zake za siri. 
PICHA  Mama huyo akichukuliwa na  Polisi! #tunasepanakijiji

96 likes

  • adellatillya#SEHEMU ZA SIRI ZAYEYUKA BAADA YA KUMUIBIA MWANAUME ALIYELALA NAE!
    Mama mmoja mjini Bukoba akiwa hajielewi kwa kile kilichompata, baada ya kulala na mwanaume katika nyumba ya wageni ya Super star hamugembe na kutoweka na pesa za mwanaume huyo ambae inasemekana ni mkazi wa Kigoma, na baada ya muda mama huyu alijikuta hana sehemu zake za siri hali iliyomfanya aonekane kama mtu aliyechanganyikiwa na kupelekea umati mkubwa wa watu wakimshangaa hadi pale Police walipofika maeneo ya tukio na kumchukua. Jitihada za kumpata msemaji wa Jeshi la Polisi zinaendelea , pia taarifa rasmi ya daktari kuthibitisha kama kweli mama huyo hana sehemu zake za siri.
    PICHA Mama huyo akichukuliwa na Polisi! #tunasepanakijiji

  • kidodakikokoJamani watu wa kigoma mtuachage hatutaki lawama kama hizi ona sasa kilichomkuta @mtituedger@choga_c @sam_mbalale @zing_yanga@saidinhomcharo @joylee_f
  • larryjk306Gud
  • zachariasylasihuko ni KUPATWA KWA SEHEMU ZA SIRI @adellatillya
  • bapromaskigoma huwa wana sayansi wazuri sana,,,,,🤔
  • zachariasylasiserikali ijipange kuleta watalii ili kipato cha sekta ya utalii kiongezeke @adellatillya
  • capitano255hahahaaa aseee nomaaa sana
  • tausicathrine@tzshaderoom
  • tausicathrineMapenzi bwana
  • uncle_hammy10HahahahahahH Tunasepa na kijiji watu wamesepa na nyeti za mama! @adellatillya
  • mamaclya14Duuh
  • charles_njauHaha haha aa hiyo kali. Dada zetu na Mama zetu mjifunze kwa hili
  • samh_salumDah kweli hizi ni sku za mwsho baada ya kusepa na kijiji cha EFM jamaa kasema na ofc ya m2 sehem za mechi japo hazichezwi hadharan
  • officialjacob.jb.79ndo dawa yao huyo mwanaume ningemuona ningemnunulia creti mbili za bia
  • enockmazibweKigoma noma

Like