Breaking News: Tetemeko la pili la ardhi latokea tena Bukoba

September 10 2016 lilitokea tetemeko kubwa la ardhi kanda ya ziwa Tanzania na kusababisha vifo vya watu sita kwa mujibu wa Polisi, sasa basi tumepata taarifa nyingine  inasema kwamba muda huu majira ya saa tano kasoro usiku Sept 11, 2016  limetokea tetemeko la pili.
Ripota wa blog hii anaendelea kufatilia taarifa zaidi na utaendelea kuzipata kadri zinanifikia 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo