‘Watu Wote waliofurahia kuuawa kwa Polisi wakamatwe’ -Waziri Nchemba

Tukio la mauaji ya Askari Polisi wanne katika shambulizi lililofanywa na majambazi katika Bank ya CRDB Mbande, Dar es salaam Ni Moja ya headline zilizochukua nafasi kuanzia usiku wa August 23 2016.

Leo August 25 2016 baadhi viongozi wa Serikali akiwemo Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Nchemba, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda wameungana na watanzania wengine kuaga miili hiyo ya marehemu.

Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Nchemba aliposimama kuongea na waomboleza pia ametaka wale wote walioshiriki kuandika mambo ya kufurahishwa katika tukio hilo wakamatwe.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo