Akizungumza leo asubuhi kupitia star tv,Joseph Kasheku (msukuma )amesema
hajawahi kuwa rafiki wa Lowassa na alichokuwa anakifanya mwaka jana ni
umamluki kama wanavyofanya askari kwenye vita.
Amesema wazi kuwa alitumwa kumpeleleza Lowassa kipindi hicho.Pia amesema hajawahi kuchukua hata senti moja ya Lowassa,na kama kuna mtu anajua alichukua hela ya Lowassa aseme na yupo tayari kuzirudisha.
Amesema wazi kuwa alitumwa kumpeleleza Lowassa kipindi hicho.Pia amesema hajawahi kuchukua hata senti moja ya Lowassa,na kama kuna mtu anajua alichukua hela ya Lowassa aseme na yupo tayari kuzirudisha.