Mrema: Kwa maandalizi yanayofanyika Magerezani, vijana msithubutu kuandamana

Akiwa Times FM jioni leo, Mwenyekiti wa Bodi ya Parole amewaasa vijana kutoshiriki kwenye vurugu za kisiasa kwa kuwa ameyaona maandalizi ya kuwapokea huko magerezani na ni balaa.

Amezungumzia pia uhusika wa nafasi yake kwenye shughuli za Bodaboda.


Chanzo: Times FM


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo