Mkuu wa wilaya aingia msituni na kukamata majambazi

Mkuu wa wilaya ya Kasulu aingia msituni kusaka wawindaji haramu na watekaji.

MKUU wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Kanali wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ambaye aliteuliwa na Mh.Rais Dkt.John Magufuli kuongoza wilaya hiyo Mh.Dc.Kanali Martin Mkisi, jana amewakamata wawindaji haramu na watekaji.

Wahalifu hao hutumia silaha hizo kwa ajili ya ujangili katika hifadhi za taifa, na watekaji hutumia silaha kuteka wasafiri baadhi ya vitendo hivi hufanywa na wahamiaji haramu ndani ya Wilaya hiyo. 

Dc huyo kwa kushirikiana na timu yake ya ulinzi na usalama, walifanikiwa kukamata wawindaji haramu na watekaji. Zoezi hilo ni endelevu msitu kwa msitu alisema Mkisi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo