skip to main |
skip to sidebar
Zamaradi Kuhusu Mahojiano na Mwanaume Anayejihusisha Mapenzi ya Jinsia Moja
Kama utakuwa unakumbuka hivi karibuni mtangazaji wa Clouds TV, Zamaradi
aliingia kwenye headlines za kufanya mahojiano na mwanaume
anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Sasa leo July 5, 2016 amezungumza na Ayo TV kueleza kile ambacho alikuwa akitarajia baada ya kurusha mahojiano hayo na kusema….
‘Nilitarajia kwamba kuna watu watakuwa hawanielewi kwa kile nilichokuwa
nakifanya na yule mtu, kwahiyo nilijua kwamba kuna aina ya watu ambao ni
vigumu sana na kama utakuwa unakumbuka kabla ya kuanza kipindi nilisema
najua kuna watu watanikosoa kwa kile ninachokirusha kwahiyo impact
imekuwa kubwa’- Zamaradi
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi