Magufuli: Walioanza Kulalamika Hakuna Pesa Mifukoni ni Wale Waliozoea Kupata Pesa za Burebure

Haya ni maneno ya mh Magufuli akiwaasa watanzania wafanye kazi kwa badii ili kuweza kujipatia kipato.

Maneno haya ameyatoa alipohudhururia mualiko maalumu kutoka kwa muft mkuu wa dini ya kiislam Tanzania kwenye baraza la la sikuku ya Eid.


Hizi ni salamu kwa wale wote wanaolalamika kwamba


Magufuli: Tusipofanya kazi hatutapata pesa, ndio maana waliokuwa wanapata za kiujanjajanja wanahaha, tushirikiane kuijenga nchi yetu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo