Idara ya uhamiaji mkoani Mtwara imewakamata wahamiaji haramu 18
raia wa Ethiopia kwenye kijiji cha Kilambo, Mtwara Vijijini wakijiandaa
kuvuka mpaka kwenda Msumbiji.
Kamishna msaidizi wa idara ya uhamiaji na ofisa uhamiaji Mkoa wa Mtwara, Rose Mhagama amesema wahamiaji hao wamekamatwa Jumatatu asubuhi wakiwa na hati za kusafiria, lakini hawakuwa na kibali cha kuingia nchini wala nchi wanayokwenda.
Kamishna msaidizi wa idara ya uhamiaji na ofisa uhamiaji Mkoa wa Mtwara, Rose Mhagama amesema wahamiaji hao wamekamatwa Jumatatu asubuhi wakiwa na hati za kusafiria, lakini hawakuwa na kibali cha kuingia nchini wala nchi wanayokwenda.
