Lowassa: Kichapo Tulichowapa CCM Uchaguzi wa 2015 ndio Kimewapanikisha

Aliyekuwa mgombea urais CHADEMA Edward Lowassa amesema kipigo walichopata CCM mwaka 2015 ndio kimewapanikisha na kuanza kufanya mambo kwa fujo na kupiga marufuku mikutano ya vyama ambayo inaruhusiwa kikatiba
Ametaka CHADEMA wasikate tamaa japokuwa wanafanyiwa mambo ili kuwa frustrate ili wasifanye kazi na wadharaulike na hawawezi kukubali..

Tazama Video:


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo