skip to main |
skip to sidebar
Kinga ya Ukimwi Haifanyi Kazi Kwa Wasichana
Ripoti inaonyesha kuwa kinga dhidi ya Ukimwi haifanyi kazi kwa wasichana
ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara huku wengi wakihitaji msaada wa
kinga ili kuepuka maambukizi mapya.
Mkurugenzi mkuu wa UNAIDS,Michel Sidibe ametoa ripoti inayosema kuwa
Kati ya asilimia 75 ya maambukizi mapya barani Afrika, asilimia 10 hadi
19 ni wasichana vigori.
Ripoti hiyo imetolewa siku chache kabla ya mkutano wa kimataifa kuhusu
Ukimwi utakaofanyika mjini Durban nchini Afrika Kusini kaunzia Julai 18
hadi 22 mwaka huu.
Ripoti hiyo ni na mapendekezo kuhusu namna ya kusitisha maambukizo mapya
na kufikia malengo ya 2020 kama ilivyoelezwa kwenye tamko la kisiasa la
mwaka 2016 lililofikiwa mjini New York mwezi Juni
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi